Saturday, December 15, 2012

KITUO CHA POLISI MUGOMA NGARA CHATEKEKETEA,NA WATU WATATU WADAIWA KUPOTEZA MAISHA







Kituo cha police Mugoma wilayani ngara mkoani kagera kikiwa kimechomwa moto na wananchi,baada ya asikari police kumuua mkazi mmoja kwa risasi na hivyo kusababisha vurugu zilizopelekea asikari wawili Cpl Paschal & Pc Alex.

Mungu azipumzishe kwa amani roho zao marehemu waliotokana na tukio hili

No comments:

Post a Comment